iqna

IQNA

samia suluhu
Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran, akiongezea katika zawadi zilizotolewa na wadau wengine ikiwemo nyumba kwa walioshika nafasi za juu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3478534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Uhusiano wa Iran na Tanzania
TEHRAN(IQNA)- Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian mjini Dodoma.
Habari ID: 3475688    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, ameziasa taasisi za Hija nchini humo, zinazosafirisha Mahujaji , kuacha tabia ya kuwalaghai Mahujaji.
Habari ID: 3475261    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/17

TEHRAN (IQNA)- Bi. Samia Suluhu Hassan mapema leo asubuhi, saa nne asubuhi kwa majira ya Afrika Mashariki ameapishwa kuwa rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Habari ID: 3473746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19